Menu ›
Burudani
Tue, 20 Dec 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nyota wa muziki wa RnB kutoka nchini Marekani Robert Kelly "R.Kelly" rasmi sasa ni baba, baada ya kupata mtoto wake wa kwanza.
R. Kelly amempata Mtoto huyo, kwa njia ya upandikizaji na mchumba wake Joycelyn Savage ambae alijitokeza hadharani na kutangaza anaujauzito wa R.Kelly.
Nyota huyo wa RnB, bado anaendelea kutumikia kifungo chake cha miaka 30 jela kwa kosa la kutumia hadhi yake kuwadhalilisha kingono watoto na wanawake.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live