Menu ›
Burudani
Wed, 24 Jan 2018
Chanzo: bongo5.com
Rapper wa kike kutoka nchini Marekani, Queen Latifah amenaswa na kamera za mapaparazi akiwa na mwanamke mmoja anayedhaiwa kuwa ni mpenzi wake aitwaye Eboni Nichols.
Kwa mujibu wa mtandao wa Shaderoom, umeonyesha wawili hao wakiwa katika mizunguko yao maeno ya New York nchi Marekani.
Mwaka 2014 wawili hao walinashwa na kamera za mapaparaza kuwa wanakiss . Pia rapper huyo aliwahi kukiri kushiriki mahusiano ya jinsia moja.
Chanzo: bongo5.com