Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Q Chief analia na mengi ‘nimeachwa na mke, muziki umenikataa, madawa yamenitafuna (Video)

Video Archive
Wed, 16 May 2018 Chanzo: bongo5.com

Baada ya taarifa kuzagaa kwamba Q Chief ameacha muziki, Bongo5 imemtafuta muimbaji huyo mkongwe na kuzungumza naye kuhusu taarifa hizo pamoja na mambo mbalimbali. Amekataa kuzungumza kitu ambacho anaona kinamfelisha katika muziki wake, amesema kinachomuumiza zaidi ni namna watoto wake wanavyoulizwa juu ya kufeli kwake kimuziki.

Loading...
Chanzo: bongo5.com