Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

‘Profile’ yangu ni ufunguo wa kwenda kimataifa – Young Dee

1541 Young.png TZW

Fri, 19 Jan 2018 Chanzo: bongo5.com

Msanii wa muziki wa hip hop kutoka King Cash, Young Dee amefunguka kwa kusema kuwa profile yake katika muziki wa BongoFleva ndiyo kitu pekee ambacho kinaweza kumpeleka kimataifa.



Young Dee

Rapa huyo amesema mwaka 2018 ananza kwa kutengeneza mazingira ambayo yatamfanya awe tofauti na wasanii wote wa muziki Tanzania.

“Msanii ni profile, umefanya nini kwenye muziki?, una umri gani kwenye muziki na ume-share jukwaa moja na wasanii gani wakongwe na wakubwa duniani, una albamu ngani. Binafsi sitaki kujikweza sana lakini huu mwaka nataka kufanya vitu vikubwa sana, kwa sababu profile yangu inaniruhusu kufanya hivyo” alisema Dee.



Chanzo: bongo5.com