IKIWA ni mwezi mzima sasa tangu nguli wa Hip Hop Bongo, Joseph Haule 'Prof. JAY' alazwe katika Hospitali ya Taifa Muhimbili huku ripoti zikieleza kwamba hawezi kuzungumza wala kutambua Watu, leo kupitia XXL ya CloudsFM Mtangazaji Mamybaby ametangaza good news kuhusu maendeleo ya Prof. Jizze.
IKIWA ni mwezi mzima sasa tangu nguli wa Hip Hop Bongo, Joseph Haule 'Prof. JAY' alazwe katika Hospitali ya Taifa Muhimbili huku ripoti zikieleza kwamba hawezi kuzungumza wala kutambua Watu, leo kupitia XXL ya CloudsFM Mtangazaji Mamybaby ametangaza good news kuhusu maendeleo ya Prof. Jizze. "Producer wetu AskofuTZA amenipa good news kwamba Profesa J ameanza kuzungumza jambo ambalo halijakuwepo hilo toka amelazwa na kubwa zaidi ameanza kutambua Watu," amesema Mamy Baby.