Ukitaja majina yasiopungua matano ya watayarishaj wa muziki Tanzania (Producers) mnamo miaka ya 2000 kuja juu basi huwez kukosa kumtaja huyu.
Anaitwa Miika Aleksanteri Kari (Miika Mwamba) amezaliwa Helsinki nchini Finland tar 16/october 1971. Hili jina Mwamba sio kwamba la kujitungia bali jina Kari(kikwao) tafsiri yake ni Mwamba hivyo basi ndo maana akaitwa Miika Mwamba na tukazoea kumwita hivyo.
Miika Mwamba alikuwa na uwezo mkubwa sana wa utayarishaji wa muziki na alileta changamoto kubwa kwa producers wa afrika mashariki kwa kipindi kile.Alichangia kwa kiasi kikubwa muziki wa bongo kukua.Alifanya kaz pale FM studio na Downtown records kwa ufupi tu.
Nyimbo alizofanya ni kama;
Twenzetu-Chegge ft YP,Ferouz&Temba
Elimu ya mitaani.com+Sauti ya gharama - D knob
H i+Julieta+Salome - Prince Dully Skykes
Kamanda - Daz Nundaz family
Nakupenda mpenz - Dudu baya
Ino mic- Ziggy Dee ( uganda)
Wange+Baby gal - Mad Ice
Bush party - Sold ground family
Tamara+Tamata - Hard mad
Maria salome - Saida karoli
Get down - Prezzo ft Naziz ( kenya)
Wanok nok+ taswira+Dingi - Mandojo& Domokaya
Kwenye chati - Baloz
Kikongwe -Picco
Mtoto wa geti kali - Inspector Haroun
Raha tu - A Y
Mkiwa - K Sal
Tupa mawe -Zahran ft.Complex
Vipi mambo - Mchiz Mox
Mashallah - Chid benz Mzee Yusuf.
Mwamba kwa sasa anaishi nchini kwao Finland.