Menu ›
Burudani
Mon, 19 Dec 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Hii ndio post ya kwanza ya mwimbaji Davido (@davido) baada ya siku 49 tangu ampoteze mwanaye wa Kiume Ifeanyi ambaye alifariki dunia Oktoba 31 mwaka huu kwa kutumbukia kwenye bwawa la kuogelea nyumbani kwao Lagos, Nigeria.
Davido ameweka picha akiwa na Chioma ambaye ndiye Mama mzazi wa marehemu Ifeanyi, wawili hao waalikuwa nchini Qatar kwenye hafla za ufungaji wa michuano ya Kombe la Dunia.
Katika sherhr hizo za ufungaji jana jioni Davido alipata nafasi ya kutumbuiza.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live