Menu ›
Burudani
Thu, 2 Feb 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Star wa muziki kutoka Abbah Music Platform ameanza maandalizi yake ya kuanza kuushambulia mwaka 2023 baada ya 2022 kufanya poa
Star wa muziki kutoka Abbah Music Platform ameanza maandalizi yake ya kuanza kuushambulia mwaka 2023 baada ya 2022 kufanya poa Nyota huyo wa ngoma ya "Fall" amesema kuwa kwa sasa yupo Zanzibar kwa ajili ya maandalizi ya video ya wimbo wake mpya ambao ana mipango ya kuiachia kuanzia tarehe 20 ya mwezi huu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live