Menu ›
Burudani
Wed, 12 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Staa mkubwa duniani, Robyin 'Rihanna' Fenty, kwa mara nyingine ameachia picha za mwanaye, alizopiga katika Msimu wa Pasaka na kuzua gumzo kubwa mitandaoni kutokana na jinsi mtoto huyo alivyo mzuri!
Staa mkubwa duniani, Robyin 'Rihanna' Fenty, kwa mara nyingine ameachia picha za mwanaye, alizopiga katika Msimu wa Pasaka na kuzua gumzo kubwa mitandaoni kutokana na jinsi mtoto huyo alivyo mzuri! Rihanna alimzaa mtoto huyo Mei 13, 2022 na staa mwenzake wa muziki nchini humo, A$AP Rocky.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live