Menu ›
Burudani
Mon, 29 Jan 2018
Chanzo: bongo5.com
Usiku wa kuamkila leo WCB ikiongozwa na Diamond Platnumz, wamemtambulisha msanii wao mpya Mbosso ambaye alikuwa Yamoto Band.
Hafla ya kumtambukisha msanii huyo iliudhuliwa na watu mabalimbali ikiwemo waandishi wa habari.
Picha na wcb_wasafi
Chanzo: bongo5.com