Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Picha: Warembo wa Nairobi wapagawisha na Diamond jukwaani

4529 28753341 216403892436994 1137336502808739840 N 1 TZW

Mon, 12 Mar 2018 Chanzo: bongo5.com

Msanii wa muziki Bongo, Diamond Platnumz siku ya jana, March 9, 2018 alikuwa na show Nairobi nchini Kenya.



Katika show hiyo iliyojulikana kama Safaricom Private Party, Diamond alienda sawa na mashabiki wake jukwaani ila warembo kutoka jijni humo walionekana kumpatia zaidi muimbaji huyo kutoka WCB kitu ambacho kilileta burudani ya aina yake kwa waliohudhuria.



Photo Credit: WCB

Chanzo: bongo5.com