Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Picha: Tamasha la Lady in Red la mwisho lilivyofanyika Dar

2972 IMG 1034 TZW

Mon, 12 Feb 2018 Chanzo: bongo5.com

Usiku wa kuamkia Jumamosi hii kwenye ukumbi wa King Solomon limefanyika tamasha la mitindo la Lady in Red ambalo huandaliwa kila mwaka na designer mkongwe nchini Asia Idarous.



Tamasha hilo lilihudhuriwa na madasigner wakongwe akiwemo Khadija Mwanamboka, Mustafa Hassanali, Martin Kadinda na Katibu Mkuu BaASATA pamoja wageni wengine waliolikwa. Hata hivyo hilo ndio litakuwa tamasha la mwisho kuandaliwa tena na Asia baada ya kuliandaa kwa miaka 15 mpaka sasa.

















Chanzo: bongo5.com