Menu ›
Burudani
Mon, 12 Feb 2018
Chanzo: bongo5.com
Kikindi cha ngomza za asili ya Kizarao kutoka Tanzania, Segere Original kimeweza kuamsha furaha kwa mashabiki zao kwa kutoa burudani ya muziki wa asili unaofanywa na kikundi hicho.
Kikundi hicho ambacho kilianzishwa zaidi ya miaka kumi iliyopita kiliweza pia kumtambulisha kijana wao mdogo anayefanya muziki wa Singeli aitwaye Elisha Dafa maarufu kama Dogo Elisha.
Dogo Elisha naye aliimba nyimbo zake kama vile :- ‘Rudi Baba’ na ‘Maisha ya baade’ na hii ikiwa ni mara yake ya kwanza kutoa burudani katika jukwaa kubwa la muziki Afrika.
Chanzo: bongo5.com