Menu ›
Burudani
Mon, 12 Feb 2018
Chanzo: bongo5.com
Msanii mkongwe wa muziki wa asili, Saida Karoli amedhilirisha uwezo wake wa kulitawala jukwaa kwa kuimba na kucheza katika tamasha la muziki la Sauti za Busara kwa mwaka 2018.
Saida ambaye amekuwa kivutia usiku wa leo ameweza kukonga nyoyo za mashabiki wake kwa kuimba vibao vyake matata kama vile;- ‘Malia Salome,’ Orugambo’ Mapenzi Kizunguzungu’ na nyinginezo.
Chanzo: bongo5.com