Menu ›
Burudani
Mon, 15 Jan 2018
Chanzo: bongo5.com
Usiku wa kuamkia leo Afrika imeendelea kusheherekea mafanikio ya muziki wake kwa ugawaji wa tuzo za muzuki za Soundcity MVP Awards 2017 zilizofanyika nchini Nigeria, katika ukumbi wa Eko Convention Centre ambapo mastaa kadhaa waliudhulia shughuli hiyo. Kubwa zaidi ni pale walipoamua kutokelezea ki-fashion zaidi.
Hizi ni baadhi ya picha za mastaa hao walivyotokelezea:
Chanzo: bongo5.com