Menu ›
Burudani
Mon, 29 Jan 2018
Chanzo: bongo5.com
Usiku wa kuamkia leo (Jumatatu) umefanyika utoaji wa tuz za Grammy katika viwanja vya Madison Square Garden jijini New York nchini Marekani. Katika tuzo hizo Bruno Mars ameongoza kwa kushinda tuzo saba huku Kendrick Lamar akipata tuzo tano.
Mastaa kibao walihudhuria tuzo hizo akiwemo Jay Z, Beyonce na mtoto wao Blue Ivy, Elton John, Lady Gaga, Zayn, Pink, Dj Khaled na mwanae Asahd, John Legend na mkewe Chrissy Teigen, Big Sean, Jaden Smith, Ne-Yo na wengine.
Chanzo: bongo5.com