Menu ›
Burudani
Mon, 29 Jan 2018
Chanzo: bongo5.com
Alfajiri ya kuamkia leo dunia ilikuwa ikishuhudia utoaji wa tuzo za Grammy 2018 toleo la 60 katika viwanja vya Madison Square Garden jijini New York nchini Marekani. Ambapo mastaa kadhaa walijitokeza kuweza kujua nani anaondoka na nini.
Hata hivyo wapo walioweza kuvurunda katika uvaaji wao na ndio maana nakuletea picha za watu hao.
Chanzo: bongo5.com