Menu ›
Burudani
Sun, 19 Sep 2021
Chanzo: millardayo.com
Ni Septembe 19, 2021 ambapo Simba SC imefanya kilele cha wiki yaani Simba DAY, hizi ni baadhi ya picha kutoka uwanja wa Benjamin Mkapa mahali palipofanyika shamra shamra hizo huku mashabiki wakiwa wamejitokeza kwa wiki na inaelezwa mpaka sasa tiketi zimeuzwa zote.
Hapa nimekusogezea baadhi ya picha kutokea Uwanja mahali panapofanyika tukio hilo la Simba DAY.
.
.
.
.
.
.
.
.
Chanzo: millardayo.com