Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Picha: Huu ndio muonekano mpya wa nywele wa Alikiba na Ommy Dimpoz

3609 27878501 453626275070630 7602800186523385856 N TZW

Mon, 26 Feb 2018 Chanzo: bongo5.com

Baada ya Ben Pol kuanza mwaka 2018 kwa kuja na style mpya ya nywele ya kuzipaka rangi (breach) – Alikiba na Ommy Dimpoz na wao wameamua kuja na style kama hiyo.



Wasanii hao ambao ameonekana kwenye picha tofauti tofauti wakiwa na bosi wao Seven Mosha, wameonekana katika muonekana mpya wa nywele zao ambao Kiba amezipaka nywele zake rangi nyekundu wakati Dimpoz akipaka rangi ya njano.

Hata hivyo Disemba 30 ya mwaka 2016, Dimpoz alikuja na style kama hiyo ya nywele ya kuweka breach.



Chanzo: bongo5.com