Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Picha: Harmonize, Rich Mavoko, Lava Lava, Mbosso na Queen Darleen katika uzinduzi wa ‘A Boy From Tandale’

4813 28763860 2078799679072475 8859703751309524992 N TZW

Sat, 17 Mar 2018 Chanzo: bongo5.com

Usiku wa kuamkia leo msanii wa muziki Bongo, Diamond Platnumz alifanya uzinduzi wa albamu yake mpya ‘A Boy From Tandale’ Nairobi nchini Kenya.

Katika uzinduzi huo Diamond alimwalika Omario kutoka nchini Marekani na waliweza kuimba pamoja ngoma ‘African Beauty’. Pia wasanii wa WCB kama Harmonize, Rich Mavoko, Lava Lava, Mbosso na Queen Darleen walikuwepo.

Chanzo: bongo5.com