Menu ›
Burudani
Mon, 12 Feb 2018
Chanzo: bongo5.com
Msanii wa muziki kutoka Tanzania, Grace Matata ameweka tabasamu katika nyuso za mashabiki wake walioudhuria tamasha la Sauti za Busara 2018, hapa kisiwani Zanzibara kwa kutoa burudani kali na yenye kusisismua kwa siku mbili mfululizo.
Mrembo huyo ambaye amewahi kuingia katika vinyang’anyiro tofauti vya tuzo za muziki aliweza kuimba ngoma kama vile:- Free Soul, Nyakati, Mama Mubaya ya Mataluma na ngoma zingine katika majukwaa mawili tofauti ambayo ni Amphitheatre na Bustani ya Forodhani
Tazama picha zaidi:
Chanzo: bongo5.com