Menu ›
Burudani
Fri, 9 Feb 2018
Chanzo: bongo5.com
Msanii wa muziki kutoka Nigeria, Davido amefunga safari hadi nchini Afrika Kusini kwa rapper Cassper Nyovest kujadili namna watakavyo-shoot video ya ngoma yao mpya. Safari ya Davido inakuja siku kadhaa baada ya wawili hao kuonekana wakiwa studio.
Chanzo: bongo5.com