Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Picha: AY afunga ndoa na mpenzi wake

3817 27890955 207051689846807 5184066770842943488 N TZW

Tue, 27 Feb 2018 Chanzo: bongo5.com

Msanii wa muziki Bongo,Ambwene Yesaya maarufu kama AY amefunga ndoa leo na mpenzi wake wa muda mrefu Remy.



Shughuli za kufunga ndoa hiyo zimefanyika leo katika hotel ya Golden Tulip iliyopo jijini Dar Es Salaam na kuhudhuliwa na mastaa mablimbali kama vile:-Lady Jaydee, Mwana FA, Salama Jabir, Profesa Jay (Joseph Haule), Fid Q na wengineo wengi.









Kutoka Bongo5 tunakutakia kheri katika maisha yako mapya ya kimahusiano.

Picha na Mtandao

Chanzo: bongo5.com