Menu ›
Burudani
Wed, 8 Sep 2021
Chanzo: millardayo.com
Mfanyabiashara Fred Ngajiro maarufu kama Fred Vunjabei ambae pia alishinda tenda ya kutengeneza jezi na vifaa vya michezo vya Simba kwa mkataba wa miaka miwili yenye thamani ya Sh 2 bilioni.
Leo hii Septemba 8, 2021 amefika Bungeni Dodoma kama mgeni mwaliko, hizi ni baadhi ya picha kadhaa kutokea Bungeni.
.
.
.
Chanzo: millardayo.com