Menu ›
Burudani
Mon, 19 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mrembo Phina amesema, wabongo wengi bado wana hali ya ushamba kwenye suala la mavazi ndio maana huwa wanakuwa hawamuelewi pindi apokuwa amepiga nguo zinazoacha sehemu kubwa ya mwili wake wazi.
Phina amesema, watu hao ndio humfuata na kumsema vibaya mitandaoni pindi anapotupia nguo hizo ikiwemo lile gauni lake la bluu.
"Wabongo wana ushamba flani hivi, hizi pigo ni za kinyamwezi sasa wakati mwingine wanashindwa kukuelewa na kukusema lakini nashukuru sio wote, wapo ambao wanachukulia kawaida," alisema Phina, staa wa Bongo Fleva, zao la BSS.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live