Menu ›
Burudani
Mon, 19 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii wa Bongo Fleva, Phina amekiri kuwa, Idris Sultan ni moja kati ya wanaume wanaomvutia Afrika Mashariki.
Phina ameenda mbali zaii kwa kusema, kwa duniani,muigizaji Michael Jordan ndiye anayemvutianzaidi na yupo tayari hata kufunga naye ndoa endapo atapata hiyo nafasi.
"Kwenye macho yangu navutiwa zaidi kumtazama Idris, sio kudate naye lakini ananivutia. Kwa duniani, Michael Jordan niko tayari hata anioe," alisema Phina.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live