Menu ›
Burudani
Tue, 7 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Meneja wa wasanii na mfanyabiashara Petit Man amemshauri mtoto wa Kajala Masanja, Paula, ayafanye masha yake ya ndoa yawe ya siri (private).
Petit ameyasema hayo alipokuwa kwenue tukio la chai la Paula lilifanyika nyumbani kwa Kajala ambapo yeye pamoja na watu wengine maarufu walikuwa wamealikwa.
"Kwa kuwa hivi tayari ameshaolewa, tumeshajua sasa anaweza kuifanya ndoa yake private kama mimi maisha yangu ya mitandaoni ni tofauti na maisha yangu halisi," alisema Petit.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live