Baada ya kuzuka tetesi katika mitandao ya kijamii kuhusiana na kuvunjika kwa penzi la Kevin Sowax na muigizaji Hamisa Mobetto, hatimaye wawili hao wamewaziba midomo wazushi, baada ya Kevin ku-share video akimtakia Hamisa kheri katika kumbukizi ya siku ya kuzaliwa kwake.
Baada ya kuzuka tetesi katika mitandao ya kijamii kuhusiana na kuvunjika kwa penzi la Kevin Sowax na muigizaji Hamisa Mobetto, hatimaye wawili hao wamewaziba midomo wazushi, baada ya Kevin ku-share video akimtakia Hamisa kheri katika kumbukizi ya siku ya kuzaliwa kwake. Kevin ali-share video hiyo kupitia InstaStory yake wakati akimu-wish Mobetto kwa njia ya simu.