Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Paula atupa dongo: Huna haja ya kuwa na makasiriko

Paula Awafokea Paula

Tue, 20 Sep 2022 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Paula Kajala au Pau; ni mrembo maarufu kwenye mitandao ya kijamii (sosholaiti), mwanamitindo na mjasiriamali wa kuuza nguo ambaye anasema kuwa, anamshukuru Mungu kwa kila jambo linalotokea kwenye maisha yake.

Akizungumza Paula ambaye hivi karibuni alikwenda kula maisha huko Dubai, anasema kuwa, hakuna haja ya mtu kuwa na makasiriko anapomuona mwenzake amefanikiwa kwani kila mtu anapata riziki yake kutoka kwa Mungu.

“Aliyepewa kapewa tu, wewe huna haja ya kuwa na makasiriko kwani anayetoa ni mmoja tu; ni Mungu hivyo inategemea namna ulivyomuomba.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live