Menu ›
Burudani
Wed, 3 Aug 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mrembo anayetikisa kwa sasa Bongo, Paula Kajala, amefunguka kuhusu mapenzi ya wazazi wake (P Funk na Kajala) akidai kuwa Mama yake (Kajala Masanja) kuwa ndiye Mungu wake wa duniani / Mungu wake wa pili na anampenda sana.
Mrembo anayetikisa kwa sasa Bongo, Paula Kajala, amefunguka kuhusu mapenzi ya wazazi wake (P Funk na Kajala) akidai kuwa Mama yake (Kajala Masanja) kuwa ndiye Mungu wake wa duniani / Mungu wake wa pili na anampenda sana. "Mama yangu nampenda sana, Mama yangu ndie Mungu wangu wa duniani," amesema Paula kupitia kipindi cha The Switch ya Wasafi FM.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live