Menu ›
Burudani
Mon, 13 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mtoto wa Kajala Masanja, mwanadada Paula amesema licha ya kutokuwa na fedha, maisha yake sio ya mchezo.
Mtoto wa Kajala Masanja, mwanadada Paula amesema licha ya kutokuwa na fedha, maisha yake sio ya mchezo. "Sina hela lakini maisha ninayoishi, wewe huwezi ukaishi, niamini mimi." ameandika Paula kwenye Insta Story.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live