Msanii wa filamu, Othman Njaidi aka Patrick Kanumba ambaye ni zao la marehemu Steven Kanumba alikuwa mmoja kati wa wasanii walioambatana na muigizaji wa Nigeria, Ramsey Nouah kutembelea kaburi la Steven Kanumba. Muigizaji huo pia alipata fursa ya kuzungumzia ishu ambayo inazungumzwa katika mitandao ya kijamii kwamba BongoMovie imekufa baada ya Steven Kanumba kufariki.
Msanii wa filamu, Othman Njaidi aka Patrick Kanumba ambaye ni zao la marehemu Steven Kanumba alikuwa mmoja kati wa wasanii walioambatana na muigizaji wa Nigeria, Ramsey Nouah kutembelea kaburi la Steven Kanumba. Muigizaji huo pia alipata fursa ya kuzungumzia ishu ambayo inazungumzwa katika mitandao ya kijamii kwamba BongoMovie imekufa baada ya Steven Kanumba kufariki.