Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Patrick Kanumba anena mazito Kanumba kuondoka na BongoMovie (Video)

Sun, 17 Dec 2017 Chanzo: bongo5.com

Msanii wa filamu, Othman Njaidi aka Patrick Kanumba ambaye ni zao la marehemu Steven Kanumba alikuwa mmoja kati wa wasanii walioambatana na muigizaji wa Nigeria, Ramsey Nouah kutembelea kaburi la Steven Kanumba. Muigizaji huo pia alipata fursa ya kuzungumzia ishu ambayo inazungumzwa katika mitandao ya kijamii kwamba BongoMovie imekufa baada ya Steven Kanumba kufariki.

Msanii wa filamu, Othman Njaidi aka Patrick Kanumba ambaye ni zao la marehemu Steven Kanumba alikuwa mmoja kati wa wasanii walioambatana na muigizaji wa Nigeria, Ramsey Nouah kutembelea kaburi la Steven Kanumba. Muigizaji huo pia alipata fursa ya kuzungumzia ishu ambayo inazungumzwa katika mitandao ya kijamii kwamba BongoMovie imekufa baada ya Steven Kanumba kufariki.

Chanzo: bongo5.com