Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Papa Fololo aiweka wazi ‘Hakupendi’

Wed, 22 Apr 2020 Chanzo: --

MWANAMUZIKI mwenye asili ya Tanzania anayeishi Brossard, Quebec nchini Canada, Papa Fololo, amewaomba wapenzi wa muziki mzuri kuipokea video ya wimbo wake mpya, Hakupendi aliyomshirikisha prodyuza Fraga.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Papa Fololo alisema anaamini mashabiki zake wengi wapo Afrika Mashariki hasa Tanzania hivyo anahitaji sapoti yao.

“Ni wimbo wa mapenzi ambao nimezungumzia hali halisi za mahusiano mengi. Mapenzi ya kweli yamepungua, wengi wanadanganya ndio maana nimeona nije na ngoma hii ambayo video yake imeongozwa na Brown Fx na sasa ipo kwenye chaneli yangu ya YouTube,” alisema Papa.

Chanzo: --