Menu ›
Burudani
Thu, 18 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
P Funk ametoa nasaha kwa vijana wake, Marioo na Paula kwa kuwataka wakaishi kwa upendo na wadumu kwenye ndoa.
P Funk ametoa kauli hiyo jana Aprili 17, 2024 kwenye baby shower ya binti yake huyo ambaye anatarajia kujifungua hivi karibuni.
Akimuelekeza Marioo, P Funk alimwambia awe baba bora.
“Omari @marioo_tz ninakuombea uwe baba bora na uwe mume bora muweze kudumu kwenye ndoa yenu kama ilivyo yangu ina miaka 14 hivi sasa,” alisema P Funk.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live