Menu ›
Burudani
Wed, 27 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kwa mujibu wa ripoti za TMZ, Diddy ameachana na kampuni ya Revolt TV! Inaripotiwa kuwa ameuza hisa zake zote kwa mnunuzi ambaye utambulisho wake ni siri.
Mmiliki mpya ametajwa kuwa ni mtu wa utamaduni na ana nia ya kubaki bila kutambulika kwa sasa.
Wanapanga kutangaza habari za mnunuzi hivi karibuni, lakini wanataka kuepuka habari kusambaa kuhusu Diddy.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live