Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

P Diddy amkataa mtoto wake

Sean Combs And Chance Chance Combs

Tue, 4 Jun 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Mkali wa Hip-Hop kutoka Marekani P Diddy juzi alishindwa kuhudhuria kwenye mahafali ya binti yake aitwaye Chance (17) huku wadau wakieleza sababu zilizopelekea kutohudhuria katika sherehe hiyo kufuatia na kesi zinazomkabili.

Mahafali ya Chance Combs yalifanyika katika Shule ya Sierra Canyon huko Los Angeles yalihudhuriwa na familia ya Kim Porter pamoja na mama mzazi wa Chance, Sarah Chapman kama wanavyoonekana kwenye picha ndogo.

Hii imekuwa mara ya pili kwa P Diddy kutohudhuria kwenye matukio makubwa ya watoto wake kwani wiki iliyopita alishindwa kuhudhuria kwenye shughuli ya tangazo la biashara ya watoto wake mapacha Jessie na D’Lila.

P Diddy amekuwa akiandamwa na kesi za unyanyasaji wa kingono toka mwishoni mwa mwaka jana ambapo mpaka kufikia sasa wanasheria wake wanaendelea kupambana na kesi hizo mahakamani.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live