Menu ›
Burudani
Sun, 20 Mar 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baraza la Sanaa la Taifa @basata.tanzania Limetangaza Wasanii wanaowania Tuzo za Muziki Tanzania (TMA).
Hii Ndio orodha ya Wasanii Wanaowania Katika Kipengele cha Msanii Bora Wa Kiume Wa Hip Hop wa Mwaka 2021.
#PROFFJAY #DARASSA #YOUNGLUNYA #RAPCHA #NAYWAMITEGO
Nani utampa kura katika kipengele hiki?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live