Menu ›
Burudani
Mon, 21 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamuziki Omari Faraji Nyembo "Ommy Dimpoz" tayari ameachia wimbo wake mpya unaitwa “MY QUEEN” na ameanza kutamba baada ya kuachia video yake kuwa yeye ndie msanii pekee ku-shoot video kwenye jumba lililochini ya Bakhresa Group lenye thamani ya Bilioni 30 za kitanzania.
Mwanamuziki Omari Faraji Nyembo "Ommy Dimpoz" tayari ameachia wimbo wake mpya unaitwa “MY QUEEN” na ameanza kutamba baada ya kuachia video yake kuwa yeye ndie msanii pekee ku-shoot video kwenye jumba lililochini ya Bakhresa Group lenye thamani ya Bilioni 30 za kitanzania.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live