Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Omarion akunwa na lugha ya Kiswahili

5104 28434391 1705666506159416 310093649473961984 N TZW

Wed, 21 Mar 2018 Chanzo: bongo5.com

Msanii wa muziki kutoka Marekani, Omarion ambaye ameshirikishwa na Diamond kwenye wimbo wa ‘African beauty’ ambao unapatikana kwenye albamu ya A Boy From Tandale, ameibuka kuzunugumzia wimbo huo kwa mara ya kwanza tangu ulipoachiwa rasmi mitandaoni.



Omarion ametumia mtandao wa Instagram ameonyesha kufurahishwa na wimbo huo hasa kwenye sehemu ambazo aliimba kwa lugha ya kiswahili.

Kupitia mtandao huo, Omarion ameandika:

Penzi ntalipamba ngonjera,huba kama tanga segera,kwa viuno ka baikoko kutoka manzabay,picha twazitwanga kisela,post insta wanga kuwakera. ^!FUN FACT^! Micheal Jackson sung Swahili on “Liberian girl” & “wanna be start’n somethin”. What a pleasure I have continuing the work of my musical forefather M.J. connecting our understanding of one another thru culture & language. It’s all love! @diamondplatnumz – African beauty.

I’m around the globe with this!!
Chanzo: bongo5.com