Menu ›
Burudani
Sat, 10 Mar 2018
Chanzo: bongo5.com
Staa wa muziki kutoka Nigeria, Olamide ameamua kufanya jambo la mahusiono liwe serious kidogo huku akiwaacha mastaa kama Davido na Wizkid kwa kutofanya maamuzi magumu.
Olomide ameamua kumvesha pete mpenzi wake wa muda mrefu Adebukunmi, ambaye wamefanikiwa naye kupata mtoto mmoja.
Kupitia Instagram katika Insta Stori ya msanii huyo ameonyesha pete hiyo aliomvesha mpenzi wake.
Chanzo: bongo5.com