Menu ›
Burudani
Wed, 15 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwimbaji na mwandishi kutoka Nigeria Tobechukwu Victor Okoh, anayejulikana kama Peruzzi, amekubali kuwa alikuwa akipewa nguo na Davido kama malipo ya kumuandika nyimbo, nguo ambazo Davido amekwisha kuzivaa
Mkali huyo akiwa katika mahojiano baada ya kuulizwa Je, ni kweli kwamba Davido alikuwa akikulipa nguo zake ili kama malipo kuandika nyimbo ? Peruzzi aliweka wazi kuwa ni kweli.
Peruzzi amesema kuwa ameandika baadhi ya nyimbo za Davido, ikiwa ni pamoja na 'Assurance,' 'unavailable 'Flora My flower', na ngingine nyingi bila malipo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live