Menu ›
Burudani
Wed, 18 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Watu wakae mkao wa kula! Staa wa Bongo Fleva, Rajabu Abdul ‘Harmonize’ amesema muda sio mrefu kuna jambo atalizungumza.
Kupitia Instasory yake, Harmonize amesema ameona akikaa kimya uongo utageuka kuwa ukweli. Haijafahamika anataka kuzungumza nini lakini mara nyingi anaposemaga hivi Harmonize huwa analipuka kweli kweli kuhusu maadui zake kimuziki.
“Kuna uongo mwingine ukiukalia kimya unageuka ukweli! Narudi soon, kumbuka sijalewa niko serious,” aliandika Harmonize.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live