Menu ›
Burudani
Sat, 9 Apr 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamitindo @miriamodemba ametoa kali ya mwaka baada ya kuiomba jeshi la polisi kutoa amri ya kwamba @kajalafrida arudi kwa mpenzi wake wa zamani @harmonize_tz
Mwanamitindo @miriamodemba ametoa kali ya mwaka baada ya kuiomba jeshi la polisi kutoa amri ya kwamba @kajalafrida arudi kwa mpenzi wake wa zamani @harmonize_tz Katika waraka ambao ameutoa mtandaoni pia amewaomba Watanzania kuacha kukaa kimya kwenye sakata hilo huku akiwataka kuchangia pesa za mabango.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live