Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

OMG wafanya kolabo na msanii mkubwa Marekani

1509 22351854 310942276050601 1238160194362408960 N TZW

Thu, 18 Jan 2018 Chanzo: bongo5.com

Kundi la muziki wa Bongo Flava, OMG limefunguka kufanya kolabo na msanii mkubwa kutoka nchini Marekani.

Member wa kundi hilo Con Boi ameiambia Ladha 3600 ya E Fm kuwa bado ni mapema kuweka wazi jina la msanii huyo ila ni kitu ambacho kimeshafanyika.

“Tumefanya kolabo nyingi sana nje ya nchi, watu wa duniani kabisa huko, tumefanya nao. Mapema sana itakuwa sio surprise tena, inabidi kazi zikitoka kuwe na uzito ili kutengeneza ule uzito inabidi vitu viwe vya kushtukiza,” amesema.

OMG kwa sasa wanafanya vizuri na ngoma ‘Wanangu Na Wanao’ ambayo wamemshirikisha Rosa Ree.

Chanzo: bongo5.com