Menu ›
Burudani
Tue, 8 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Jumba la kifahari huko Alaska Amerika Kaskazini limeporomoka kwenye Mto Mendenhall kutokana na mafuriko makubwa yaliyosababishwa na barafu iliyoyayuka kutoka ziwani.
Nyumba hiyo ilisombwa na maji baada ya ardhi iliyoizunguka kumomonyoka kwa kasi kwa takribani saa sita.
Mafuriko hayo hayakutarajiwa, huku wataalam wa hali ya hewa wakitabiri uwezekano wa asilimia moja tu kutokea, na kusababisha uharibifu kwa angalau nyumba mbili, na wengi zaidi kuhamishwa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live