Menu ›
Burudani
Mon, 20 Feb 2023
Chanzo: Bbc
Wasanii watatu wakubwa wa muziki nchini Nigeria siku ya Jumapili walitumbuiza wakati wa mapumziko ya NBA All-Stars 2023, ambayo ni moja ya hafla kubwa zaidi za kimichezo nchini Marekani.
Burna Boy, Rema na Tems walitumbuiza kwa zamu maonyesho ya Afrobeat kwenye kipindi cha mapumziko.
Burna Boy alitumbuiza katika tamasha hilo kwa kuipa vibao vyake kali vikiwemo Anybody, It’s Plenty, Last Last na Alone.
Chanzo: Bbc