Menu ›
Burudani
Mon, 17 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Chatu wa Kiburma mwenye urefu unaokadiriwa kufikia futi 19, alikamatwa na kuuawa na wawindaji nyoka kutoka jimbo la Florida mapema wiki hii.
Jake Waleri mwenye umri wa miaka 22 na marafiki zake walipambana na nyoka huyo katika Hifadhi Kubwa ya Kitaifa ya Cypress ya iliyopo katika jimbo hilo.
Maafisa wa uhifadhi wanyamapori Kusini Magharibi mwa jimbo la Florida baadaye walithibitisha kuwa chatu huyo ndiye anayeaminika kuwa mrefu zaidi kuwahi kurekodiwa ambapo imeweka rekodi mpya ya dunia kwa nyoka kufikia urefu wa futi 19.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live