Menu ›
Burudani
Thu, 9 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamuziki wa nyimbo za Gosper nchini, Joel Lwaga amedai kuwa nyimbo zake zinaponya watu na kuondoa stress.
Kufuatia mahojiano yake na moja ya chombo cha habari msanii huyo ameeleza kuwa Mungu ana muongoza katika utungaji wa nyimbo zake na ndio maana zina ponya na kuondoa strees kutokana na ujumbe uliopo kwenye nyimbo hizo.
Ni wimbo gani kutoka kwa #Joel ukiuskiliza unakuponya?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live