Mahakama ya Milimani, Nairobi, Kenya imemuagiza Staa wa muziki #Nyashinski kutoa maelezo ya mkataba wake na kampuni ya Simu ya #TecnoKenyaLimited katika kujibu mzozo wa hakimiliki ulioanzishwa na mtayarishaji wa muziki kutoka Nigeria #SamEliapendaJedidah.
Mahakama ya Milimani, Nairobi, Kenya imemuagiza Staa wa muziki #Nyashinski kutoa maelezo ya mkataba wake na kampuni ya Simu ya #TecnoKenyaLimited katika kujibu mzozo wa hakimiliki ulioanzishwa na mtayarishaji wa muziki kutoka Nigeria #SamEliapendaJedidah. #Jedidah anadai kuwa #Nyashinski alitumia wimbo wao wa "Wach Wach" kwenye Tangazo la Simu ya #TecnoCamon20, akitaka 50% ya mapato yake. Kesi ya awali imepangwa kufanyika Machi 12, 2024, ambapo #Nyashinski atalazimika awasilishe makubaliano ya ubalozi na #Tecno na ripoti za mrabaha kutoka mifumo ya kidijitali kwa nyimbo zote zinazobishaniwa.