Menu ›
Burudani
Sat, 27 Aug 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Usiku wa kuamkia August 26,2022 imefanyika sherehe ya harusi ya Mwigizaji na Mchekeshaji, Nisha @nishabebee ambayo imefanyika katika ukumbi ulioko Mbezi Beach Dar es salaam.
Usiku wa kuamkia August 26,2022 imefanyika sherehe ya harusi ya Mwigizaji na Mchekeshaji, Nisha @nishabebee ambayo imefanyika katika ukumbi ulioko Mbezi Beach Dar es salaam. Nisha amefanya sherehe hiyo baada ya kufunga ndoa mchana wa jana na Mumewe Salim Hassan maeneo ya Mwananyamala nyumbani kwa Kaka yake Rummy.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live